Hustahili kuchukua mkopo kama…
Wewe ndiye utakayelipa mkopo huo kwa fedha zako mwenyewe.
Kwa sababu hapo utakuwa umechagua kujiumiza kifedha.
Unastahili kuchukua mkopo kama utawatumia watu wengine wakusaidie kulipa mkopo huo.
Unafanyaje hilo?
Kwa kuwa na kitu kinachozalisha faida na kisha kutumia faida hiyo kulipa mkopo, hapo wewe binafsi huumii.
Leave a reply to Nelius Didace Cancel reply